قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ النَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
مِن شَرِّ الْوَسْوَاسِ الْخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
الَّذِي يُوَسْوِسُ فِي صُدُورِ النَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
مِنَ الْجِنَّةِ وَالنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu.