114. Mankind

1
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ النَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
2
مَلِكِ النَّاسِ
Mfalme wa wanaadamu,
3
إِلَٰهِ النَّاسِ
Mungu wa wanaadamu,
4
مِن شَرِّ الْوَسْوَاسِ الْخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
5
الَّذِي يُوَسْوِسُ فِي صُدُورِ النَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
6
مِنَ الْجِنَّةِ وَالنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu.
CopyRight © 2024 Koran.link All Rights Reserved