103. The Time

1
وَالْعَصْرِ
Naapa kwa Zama!
2
إِنَّ الْإِنسَانَ لَفِي خُسْرٍ
Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
3
إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَتَوَاصَوْا بِالْحَقِّ وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ
Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
CopyRight © 2024 Koran.link All Rights Reserved