105. The Elephant

1
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَابِ الْفِيلِ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
2
أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِي تَضْلِيلٍ
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
3
وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
4
تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍ مِّن سِجِّيلٍ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
5
فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍ مَّأْكُولٍ
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
CopyRight © 2024 Koran.link All Rights Reserved