106.Quraish

1
لِإِيلَافِ قُرَيْشٍ
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
2
إِيلَافِهِمْ رِحْلَةَ الشِّتَاءِ وَالصَّيْفِ
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
3
فَلْيَعْبُدُوا رَبَّ هَٰذَا الْبَيْتِ
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
4
الَّذِي أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍ وَآمَنَهُم مِّنْ خَوْفٍ
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
CopyRight © 2024 Koran.link All Rights Reserved