111. The Palm Fibre

1
تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
2
مَا أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُ وَمَا كَسَبَ
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
3
سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ
Atauingia Moto wenye mwako.
4
وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
5
فِي جِيدِهَا حَبْلٌ مِّن مَّسَدٍ
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
CopyRight © 2024 Koran.link All Rights Reserved